HOSIPITALI ZA MOMBASA HAZINA DAWA
Vituo vyote vya afya vya umma katika kaunti ya Mombasa vinakabiliwa na ukosefu wa dawa
katibu katika chama cha madaktari KMPDU tawi la pwani anasema kuwa miongoni mwa dawa hizo ni muhimu ikiwa ni Pamoja na ile ya kutuliza maumivu.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 



































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































