#Football #Sports

MAJERAHA YALITULETEA HASARA

Kocha wa Nzoia Sugar Charles Odera sasa analaumu ubutu wa washambulizi wake na majeraha kwa mwanzo wao mbaya katika ligi ya daraja la pili, NSL.

Nzoia, ambao walishushwa daraja kutoka ligi kuu msimu jana, walilambishwa 3-1 na Darajani Gogo wikendi iliyopita.

Nzoia kwa sasa wako nafasi ya 18 wakiwa na alama mbili pekee baada ya mechi nne.

Imetayarishwa na Nelson Andati

MAJERAHA YALITULETEA HASARA

IMPALA RFC WAKO TAYARI

MAJERAHA YALITULETEA HASARA

STARLETS WAFANYA MAZOEZI YA KWANZA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *