#Local News

KENYA KUPELEKA MAAFISA 600 ZAIDI WA POLISI NCHINI HAITI – RUTO

Maafisa wengine 600 wa polisi wa Kenya wanatarajiwa kujiunga na wenzao nchini Haiti ili kupiga jeki juhudi za kukabilia na wahalifu.

Maafisa hao kwa sasa wanaendelea na mafunzo na watakuwa tayari kwa kazi nchini Haiti hivi karibuni,
Kenya inaongoza mwitikio wa kimataifa kwa wito wa dharura wa Haiti wa kuungwa mkono katika kurejesha usalama nchini humo.

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liliidhinisha kutumwa kwa Ujumbe wa Kimataifa wa Msaada wa Usalama (MSS) nchini Haiti mnamo Oktoba 2, 2023.

Imetayarishwa na Janice Marete

KENYA KUPELEKA MAAFISA 600 ZAIDI WA POLISI NCHINI HAITI – RUTO

IDARA ZA SERIKALI YA KITAIFA NA KAUNTI

KENYA KUPELEKA MAAFISA 600 ZAIDI WA POLISI NCHINI HAITI – RUTO

ZIWA TURKANA LAVUNJA KINGO ZAKE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *