#Local News

TIMIZENI AHADI, WALIMU KWA SERIKALI

Huku ikisalia takribani miezi 2 kabla ya masomo ya gredi ya 9 kuanza, muungano wa walimu wa shule za msingi umeitaka serikali kuwaajiri walimu zaidi watakaofanikisha masomo hayo jinsi iliyoahidi.

Wakizungumza jijini Mombasa wakati wa kongamano lao la kila mwaka, wlaimu hao wakiongozwa na mwenyekiti wao Johnson Nzioka wamesema utekelezwaji wa masomo ya sekondari msingi unakumbwa na uhaba wa walimu.

Aidha, wameihimiza serikali kukamilisha ujenzi wa madarasa 18,0000 ya gredi ya 9.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

TIMIZENI AHADI, WALIMU KWA SERIKALI

MAGEUZI YATOKOTA, AZIMIO YATANGAZA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *