#uncategorized

SERIKALI YATOA BILIONI 1.12 ZA UJENZI WA VITUO VYA KIBIASHARA

Serikali imetoa mgao wa shilingi bilioni 1.12 kufadhili mradi wa vituo vya biashara katika kaunti mbali mbali nchini.

Waziri wa biashara na viwanda Rebecca Miano amesema fedha hizo zinalenga kufadhili ujenzi wa vituo hivyo katika kaunti 17.

Miongoni mwa kauntu zitakazonufaika na fedha hizo ni Migori ,Mombasa,Busia ,Meru Bungoma Kirinyaga homabay Machakos siaya Kiambu muranga transnzoia embu uasiangishu nandi Nakuru na Garissa.

Kila kaunti itapata shilingi milioni 62.5.

Imetayarishwa na: Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *