#Local News

WANAHARAKATI WATAKA ZOEZI LA UFUKUZI WA MIILI KATIKA CHIMBO LA KWARE KUREJELEWA

Wanaharakati wa kutetea haki za kibinadamu wanataka kurejelewa kwa shughuli ya kutafuta na kuopoa mili katika chimbo la kware.

Wanaharakati hao wameibua madai kwamba kuna njama ya kuficha kwa kusimamisha zoezi la uopoaji katika chimbo hilo.

Imetayarishwa na Janice Marete

WANAHARAKATI WATAKA ZOEZI LA UFUKUZI WA MIILI KATIKA CHIMBO LA KWARE KUREJELEWA

MWAKILISHI WA KIKE KAUNTI YA TRANSNZOIA LILIAN

WANAHARAKATI WATAKA ZOEZI LA UFUKUZI WA MIILI KATIKA CHIMBO LA KWARE KUREJELEWA

RAILA ANGALI MCHEZONI, ODM

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *