WANAHARAKATI WATAKA ZOEZI LA UFUKUZI WA MIILI KATIKA CHIMBO LA KWARE KUREJELEWA
Wanaharakati wa kutetea haki za kibinadamu wanataka kurejelewa kwa shughuli ya kutafuta na kuopoa mili katika chimbo la kware.
Wanaharakati hao wameibua madai kwamba kuna njama ya kuficha kwa kusimamisha zoezi la uopoaji katika chimbo hilo.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































