#Local News

HATUNA MUDA NANYI- WETANG’ULA KWA WAPINZANI

Spika wa Bunge la kitaifa Moses Wetang’ula amewaonya viongozi wanaopinga sera za serikali, akitaja ukosoaji wao kuwa kelele na kwamba haitawazingatia.

Akizungumza kwenye hafla ya masomo katika kaunti ya Bungoma, Wetang’ula amewashutumu viongozi wanaopinga kukodishwa kwa kiwanda cha Nzoia, na kusema kuwa wanatumia suala hilo kisiasa.

Kauli yake imesisitizwa na gavana wa Bungoma Ken Lusaka

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

HATUNA MUDA NANYI- WETANG’ULA KWA WAPINZANI

JIPU LA MGOMO LATUMBUKA KAKAMEGA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *