#Local News

MUDAVADI AISHUKURU UAE KWA KUTOA NAFASI ZA AJIRA KWA WAKENYA

Waziri mwenye Mamlaka Makuu Musalia Mudavadi, ameshukuru Muungano wa Milki za Kiarabu UAE, kwa kutoa nafasi 30,000 za ajira kwa raia wa Kenya.

Mudavadi, ameelezea kujitolea kwa Kenya kuimarisha uhusiano wa nchi hizo mbili pamoja na kupatikana kwa nafasi zaidi za ajira kwa wakenya walio na utaalam katika taifa hilo la Mashariki ya Kati.

Akizungumza wakati wa kikao cha nne cha tume ya pamoja ya ushirikiano kati ya Kenya na UAE, Mudavadi ametoa wito kwa nchi hizo mbili kuharakisha utekelezaji wa mkataba wa ushirikiano kuhusu leba wa mwaka 2018.

Imetayarishwa na Janice Marete

MUDAVADI AISHUKURU UAE KWA KUTOA NAFASI ZA AJIRA KWA WAKENYA

MWANGAZA KUCHUNGUZWA NA SENETI NZIMA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *