#Local News

KIZINGITI KWENYE UCHUNGUZI WA MAUAJI YA WAKILI

Ukosefu wa kamera za CCTV kwenye barabara ya Magadi jijini Nairobi ndicho kizingiti kinachochelewesha kukamatwa kwa washukiwa wa mauaji ya wakili Kyalo Mbobu aliyeuawa kwa risasi wiki jana.

Haya ni kwa mujibu wa Waziri wa usalama wa kitaifa Kipchumba Murkomen, hasa baada ya wakenya kulalamikia kucheleweshwa huku ikilinganishwa na uchunguzi katika mauaji ya aliyekuwa mbunge wa Kasipul Ong’ondo Were.

Ibada ya wafu ya wakili huyo imeratibiwa leo huku akitarajiwa kuzikwa Jumatano nyumbani kwake.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KIZINGITI KWENYE UCHUNGUZI WA MAUAJI YA WAKILI

MURKOMEN ATETEA ‘JUKWAA LA USALAMA’

KIZINGITI KWENYE UCHUNGUZI WA MAUAJI YA WAKILI

APOSTLE MANYURU AITAKA SERIKALI KUJUKUMIKA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *