#uncategorized

IDADI YA WATU WASIOJULIKANA YAKWAMA KWEYNYE VIFUSI KIAMAIKO

Idadi ya watu isyojulikana wakiwemo watoto imekwama katika vifusi vya jengo ambalo limeporomoka katika mtaa wa Kiamaiko Jijini Nairobi.

Kwa mujibu wa walioshuhudia tukio hilo, Zaidi ya watu 10 wamekuwa wakisaka vyuma vikuu kuu kwenye jengo ambalo lilikuwa limeratibiwa kubomolewa kabla ya jengo hilo kuporomoka ghafla na kuwafunika.

Kwa sasa shughuli za uokoaji zinaendelea, ingawa hadi tukienda hewani idara husika katika serikali kuu na ile ya kaunti ya Nairobi hazikuwa zimetoa ripoti rasmi.

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *