#Local News

BUNGE KUCHUNGUZA USAMBAZAJI WA CHANJO

Kamati ya afya bungeni chini ya uongozi wake mbunge wa seme James Nyikal imeanzisha uchunguzi katika usambazaji wa chanjo aina ya BCG na ile ya polio katika maeneo tofauti na itawasilisha ripoti yake bungeni katika muda wa juma moja.

Ni agizo lililotolewa na spika wa bunge la taifa Moses Wetangula kufuatia uhaba wa chanjo hizo akisema huenda hali hiyo ikaathiri watoto wanaozaliwa na jamii zilizotengwa.

Hata hiyo wizara ya afya inasema chanjo zaidi zimewasili na zitaanza kusambazwa hivi karibuni.

Imetayarishwa na Maureen Amwai

BUNGE KUCHUNGUZA USAMBAZAJI WA CHANJO

IG AOMBA TAIFA MSAHAMA

BUNGE KUCHUNGUZA USAMBAZAJI WA CHANJO

KOOME NJIA PANDA KUHUSU IEBC

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *