MAAFISA 200 WA USALAMA WANATARAJIWA KUANZA SAFARI YA HAITI

Kundi la kwanza la maafisa wanaotarajiwa kujiunga na kikosi cha kimataifa cha usalama nchini Haiti kinatarajiwa kuondoka nchini kufikia mwisho wa wiki hii.
Katika taarifa kwa vyombo vya Habari wizara ya maswala ya usalama na maswala ya ndani kundi la kwanza litajumuisha maafisa 200 miongoni mwa maafisa 1000 ambao ni idadi iliyoidhinishwa na bunge kwa ajili ya oparisheni hiyo.
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































