#Local News

GAVANA OTUOMA AWAONYA MAAFISA DHIDI YA SIASA

Visa vya maafisa wa umma kujihusisha na siasa wanapokuwa kwenye majukumu yao rasmi vimetajwa kuwa kizingiti kwa maendeleo katika kaunti ya Busia, gavana wa kaunti hiyo Paul Otuoma akiwaonya maafisa hao dhidi ya mienendo hiyo.

Akizungumza katika eneo la Budalang’i, Otuoma amelalamikia hatua ya maafisa hao kutumia raslimali za umma kuendesha siasa za mapema, na kuonya kuwa watakaopatikana watachukuliwa hatua za kisheria.

Aidha, amewataka maafisa wanaojihusisha na siasa kujiuzulu.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

GAVANA OTUOMA AWAONYA MAAFISA DHIDI YA SIASA

KARUA AMTAKA RUTO ‘KUTOWATUMIA’ WANASIASA

GAVANA OTUOMA AWAONYA MAAFISA DHIDI YA SIASA

WAZEE EMBU WADAI HONGO KATIKA KUMTIMUA GACHAGUA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *