#Local News

“MUUAJI” WA IKULU KUZUILIWA KWA SIKU 14

Mshukiwa wa mauaji ya afisa wa GSU nje ya Ikulu ya Nairobi Kithuka Musyimi, atazuiliwa kwa siku 14 zaidi ili kuruhusu polisi kukamilisha uchunguzi katika kifo cha afisa huyo aliyeuawa kwa kudungwa mshale.

Sehemu ya uchunguzi inahusisha ukaguzi wa mienendo ya mshukiwa na mawasiliano ya simu yake, duru zikiarifu kuwa Musyimi na afisa huyo kwa jina Ramadhan Hamisi waliwahi kukutana mara kadhaa kabla ya siku ya tukio.

Hamisi alizikwa nyumbani kwao kaunti ya Kajiado hapo jana.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

“MUUAJI” WA IKULU KUZUILIWA KWA SIKU 14

WABUNGE, DUALE WARUSHIA MANENO

“MUUAJI” WA IKULU KUZUILIWA KWA SIKU 14

MGOMO WA WAHADHIRI WAFIKA MAHAKAMANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *