WAZIRI KINDIKI AMEAGIZA WATU WANAOISHI KWA MISITU KUHAMA

Waziri wa usalama na maswala ya ndani prof Kithure Kindiki amewaagiza watu wanaoishi kwenye misitu kuondoka haraka.
Akizungumza mjini marsabit wakati alipoongoza shughuli ya upanzi wa miche , kindiki amesema ardhi kubwa ya misitu imenyakuliwa hali inayotishia usalama wa mazingira.
Kulingana na Waziri kindiki serikali itaendelea na mipango ya kuondoa watu wanaoishi karibu na mito akisema wamechangia pakubwa katika uharibivu wa mazingira
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































