#Local News

HATUJENGI TUKUPE, UTAPANGISHA- WAZIRI WAHOME

Ushuru unaotozwa kama mfanyakazi kugharamia mradi wa ujenzi wa nyumba za bei nafuu si wa kununua nyumba, bali ni wa kutumika kujenga nyumba hizo.

Ndiyo kauli ya waziri wa ardhi na nyumba Alice Wahome, akisema wakenya watahitajika kulipia kodi ya kila mwezi kuishi ndani ya nyumba hizo saw ana ilivyo kwa nyumba nyingine za kupanga.

Kwenye mahojiano na kituo kimoja cha utangazaji, Wahome amesema wakenya watakaopata hizo nyumba watalipia kwa kipindi cha miaka 30.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

HATUJENGI TUKUPE, UTAPANGISHA- WAZIRI WAHOME

ACHENI MZAHA, RAIS RUTO KWA WAKENYA

TRIADTOTO • LINK DATA KELUARAN TOGEL MACAU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *