#Local News

CHIFU ATAKA KITUO CHA POLISI KUKABILI WIZI

Wakazi katika eneo la Ngweso kaunti ya Homa Bay wakiongozwa na chifu wa eneo hilo sasa wanaitaka serikali kujenga kituo cha polisi eneo hilo ili kukabili visa vya wizi hasa unaoelenga pikipiki kila siku ya soko.

Aidha, wamewataka polisi kuimarisha doria ili kukomesha visa hivyo ambavyo vimekithiri.

Wakazi hao wameyasema haya baada ya kumpiga hadi kufa mwanamme mmoja anayedaiwa kuwa mwizi sugu wa pikipiki baada ya kupatikana na pikipiki iliyopotea wiki moja iliyopita.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

CHIFU ATAKA KITUO CHA POLISI KUKABILI WIZI

RUTO AKOSOA MFUMO WA UN, AU

CHIFU ATAKA KITUO CHA POLISI KUKABILI WIZI

NI UONGO, WANAHARAKATI WAMJIBU KINDIKI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *