#Local News

JUNET, ODHIAMBO WAIDHINISHWA.

Muungano wa Azimio la Umoja umeidhinisha uteuzi wa mbunge wa Suna Mashariki Junet Mohammed kuchukua wadhifa wa kiongozi wa walio wachache katika bunge la kitaifa na kujaza pengo lilioachwa na Opiyo Wandayi.

Kupitia taarifa, chama cha ODM kimesema uamuzi huo umeafikiwa katikamkutano wa wajumbe wa Azimio.

Aidha, uteuzi wa mbunge wa Suba Kaskazini Millie Odhiambo kuchukua wadhifa wa kiranja wa walio wachacje bungeni umeidhinishwa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

JUNET, ODHIAMBO WAIDHINISHWA.

MGOMO WA UASU WANUKIA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *