#Football #Sports

TUSKER FC YALENGA KUSAJILI WACHEJAJI WAPYA

Klabu ya Tusker FC inalenga kuwasajili wachezaji wapya baada ya kuwaachilia wachezaji 11 ili kuboresha kikosi chake hata zaidi tayari kwa msimu wa 2024-2025.

Klabu hiyo imeanza mazungumzo na wachezaji kutoka vilabu mbali mbali ili kuwashawishi kujiunga nao kabla ya msimu wenyewe kungoa nanga rasmi.

Imetayarishwa na Janice Marete

TUSKER FC YALENGA KUSAJILI WACHEJAJI WAPYA

MICHEZO YA KSSSA KUFANYIKA KISUMU CITY

TUSKER FC YALENGA KUSAJILI WACHEJAJI WAPYA

MAN-CITY KUSAJILI WINGA WA BRAZIL SAVINHO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *