EKURU: HUENDA GACHAGUA AKATEMWA 2027
Huenda rais william Ruto akamteua mtu mwingine kuwa naibu wake katika uchaguzi mkuu ujao wa 2027 , hay ani kwa mujibu wa kiongozi wa chama cha Third way Alliance Ekuru Aukot.
Aukot amesema kuwa mvutano kati ya rais William Ruto na naibu wake Rigathi Gachagua umesababisha sio tu mgawanyiko katika chama tawala cha ODM bali pia umefanya juhudi za Gachagua kuunganisha eneo la mlima kenya kuangulia patupu.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































