#Local News

HATIMA YA GAVANA MWANGAZA YAANZA KUJADILIWA NA SENETI

Vikao vya kujadili hoja ya kumbandua mamlakani gavana wa kaunti ya Meru Kawira Mwangaza vinaendelea katika Bunge la Seneti.

Gavana mwangaza anawakilishwa na mawakili sita katika kesi inayomkabili hii ikiwa mara ya tatu kwa gavana huyo kubanduliwa mamlakani na bunge la aunti ya meru.

Imetayarishwa na Janice Marete

HATIMA YA GAVANA MWANGAZA YAANZA KUJADILIWA NA SENETI

SARAH MORAA ATARAJIA KUBEBA TAJI.

HATIMA YA GAVANA MWANGAZA YAANZA KUJADILIWA NA SENETI

AMUUA MKEWE NA KISHA AKATOROKA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *