#Local News

BADILISHENI VITAMBULISHO; BITOK ASEMA

Julius Bitok katibu katika wizara ya uamiaji amesema kuwa kila mkenya atahitajika kuwa na kitambulisho cha kitaifa cha kisasa kinachojulikana nkama maisha Crad.

Kwa mujibu wa balozi Bitok serikali imeweka mikakati ya kiutosha kuhakikisha kwamba wananchi wanapata vitambulisho hivyo vya kisasa ili kudumisha usalama na kwamba kitambulisho hicho kitakuwa kinabadilishwa baada ya muda fulani.

Imetayarishwa na Janice Marete

BADILISHENI VITAMBULISHO; BITOK ASEMA

MAAFISA WAKUU WAKAMATWA KWA MADAI YA ULAGHAI

BADILISHENI VITAMBULISHO; BITOK ASEMA

KENYA LIONESS WALEMEWA NA CHINA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *