#Local News

WAFANYABIASHARA WAACHWA NA HASARA

Wafanyabiashara katika maeneo hasa Nairobi, Meru, Kirinyaga, Murang’a, Kiambu, Nakuru, Machakos na Kajiado wameendelea kukadiria hasara ya mamilioni ya pesa baada ya biashara zao kuporwa huku zingine zikiteketezwa na makundi ya wahundi waliotumia maandamano ya Saba Saba kutekeleza uhalifu.

Miongoni mwa taasisi za serikali zilizochomwa ni afisi ya NG-CDF ya Kirinyaga Central, idara ya polisi ikiripoti kuwa magari 15 ya serikali na 4 ya kibinafsi yaliharibiwa.

Uharibifu huo ulitokea licha ya hakikisho la polisi la kulinda Maisha na mali wakati wa maandamano hayo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAFANYABIASHARA WAACHWA NA HASARA

OJWANG KUZIKWA LEO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *