RUTO AOMBA TANZANIA, UGANDA KUISAMEHE KENYA
Rais William Ruto ameomba msamaha kwa nchi jirani ya Tanzania na Uganda iwapo Wakenya wamewakosea kwa njia yoyote ile, ili kurudisha amani na muunganao wa kitaifa, na jumuiya ya Afrika Mashariki.
Ruto amesema haya akiwa kwenye hafla ya maombi ya kitaifa, akiwaomba pia vijana wa Kenya kumsamehe iwapo amewakosea, hasa kuhusiana maandamano ya mwaka jana.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































