CHAMA CHA KITAIFA CHA BIASHARA CHAUNGA MKONO UJENZI WA NYUMBA ZA BEI NAFUU KISAUNI MOMBASA
Chama cha kitaifa cha biashara na viwanda kimeunga mkono ujenzi wa nyumba za kisasa na za bei nafuu katika eneo bunge la Kisauni kaunti ya Mombasa wakisema kuwa hatua hiyo itapandisha hadhi eneo hilo
Wawekezaji wa ujenzi wa nyumba sawa na hiyo wametakiwa kutumia mfumo wa kisasa.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































