#Local News

DCI YACHUNGUZA MAUAJI YA MWANAMKE EMBAKASI

Maafisa wa DCI wanachunguza mauaji ya mwanamke anayedaiwa kunyongwa na wanaume wawili eneo la Jua Kali, Embakasi kaunti ya Nairobi.

Kisa hiki kinaangazia ongezeko la mauaji ya wanawake, huku visa 97 vikiripotiwa ndani ya miezi mitatu.

Mwili wake umepelekwa kwenye hifathi ya maiti kwa uchunguzi.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *