#Local News

GAVANA WA BUSIA ALALAMIKIA UPUNGUFU WA USHURU UNAOKUSANYWA KUTOKA KWA HOSIPITALI ZA UMMA KAUNTI HIYO

Wakaazi wa kaunti ya Busia wamelazimika kutafuta huduma za matibabu katika kaunti zingine kufuatia huduma duni katika hosipitali za umma za kaunti hiyo.

Gavana wa kaunti hiyo Paul Otuoma amelalamikia kupungua kwa ushuru unaokusanywa kutoka kwa hosipitali za umma za kaunti hiyo kufuataia huduma duni zinazochangiwa na migomo ya mara kwa mara ya wahudumu wa afya.

Imetayarishwa na Janice Marete

GAVANA WA BUSIA ALALAMIKIA UPUNGUFU WA USHURU UNAOKUSANYWA KUTOKA KWA HOSIPITALI ZA UMMA KAUNTI HIYO

AKAMATWA BAADA YA KUMUUA MWANAWE, 24, KATIKA

GAVANA WA BUSIA ALALAMIKIA UPUNGUFU WA USHURU UNAOKUSANYWA KUTOKA KWA HOSIPITALI ZA UMMA KAUNTI HIYO

WAFANYAKAZI WA ANGA KATIKA JKIA WAANDAMANA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *