#Local News

WAKENYA WANAOTAFUTA AJIRA NJE YA NCHI WATAKIWA KUJICHUNGA NA MASHIRIKA YANAYOWEZA KUWALAGHAI

Tahathari imetolewa kwa wakenya wanaotafuta ajira nje ya nchi kuwa makini wasilaghaiwe na mashirika 26 ambayo hayajasajiliwa na ser5ikal.i kuendesha shughuli hiyo.

Wizara ya leba kupitia Waziri Alfred Mutua amesema kuwa mashirika hayo hayajasajiliwa na mamlaka ya kitaifa ya ajira na kwamba hayana mamlaka wala leseni ya kuendesha shughuli zozote nchini.

Imetayarishwa na Janice Marete

WAKENYA WANAOTAFUTA AJIRA NJE YA NCHI WATAKIWA KUJICHUNGA NA MASHIRIKA YANAYOWEZA KUWALAGHAI

SENETA MAANZO; WABUNGE WALIKOSA KUPEWA PESA NA

WAKENYA WANAOTAFUTA AJIRA NJE YA NCHI WATAKIWA KUJICHUNGA NA MASHIRIKA YANAYOWEZA KUWALAGHAI

MOSES KURIA: KULIKUWA NA HAJA YA KUUNDA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *