MBUNGE WA GATUNDU KUSINI GABRIEL KAGOMBE MAHAKAMANI
Mbunge wa Gatundu Kusini Gabriel Kagombe anatarajiwa kufikishwa katika mahakama kuu ya Machakos kwa kujibu mashtaka yanayomkabili ya mauaji
Kagombe alifikishwa mahakamani mapema wiki hii lakin I hakujibu shtaka hilo baada ya serikali kuiomba mahakama kumruhusu afanyiwe uchunguzi wa kiakili
Mbunge huyo inaarifiwa alimuua David Nduati kwa kumpiga risasi mgongoni eneo la Kimocho thika makongeni kaunti ya Kiambu
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































