#Local News

MBUNGE WA GATUNDU KUSINI GABRIEL KAGOMBE MAHAKAMANI

Mbunge wa Gatundu Kusini Gabriel Kagombe anatarajiwa kufikishwa katika mahakama kuu ya Machakos kwa kujibu mashtaka yanayomkabili ya mauaji

Kagombe alifikishwa mahakamani mapema wiki hii lakin I hakujibu shtaka hilo baada ya serikali kuiomba mahakama kumruhusu afanyiwe uchunguzi wa kiakili

Mbunge huyo inaarifiwa alimuua David Nduati kwa kumpiga risasi mgongoni eneo la Kimocho thika makongeni kaunti ya Kiambu

Imetayarishwa na Janice Marete

MBUNGE WA GATUNDU KUSINI GABRIEL KAGOMBE MAHAKAMANI

WAZIRI WA ELIMU MACHOGU AAGIZA HELB KUFUNGUA

MBUNGE WA GATUNDU KUSINI GABRIEL KAGOMBE MAHAKAMANI

RUTO ATAKUWA MGENI WA HESHIMA KATIKA SHEREHE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *