#Local News

POLISI KUBUNI KAMATI ZA KUKABILI UFISADI

Wakuu wa usalama wameagizwa kuanzisha kamati maalum za kukabiliana na ufisadi unaohusisha polisi kwenye kaunti kufuatia agizo la inspekta mkuu wa polisi.

Akiongea kwenye mkutano na wakuu wa usalama Mkuu wa polisi Douglas Kanja anasema hatua hiyo inachukuliwa kutokana na kukithiri kwa visa vya ufisadi anavyosema pia vinawahusisha wananchi.

Imetayarishwa na Maureen Makhobe

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *