#Local News

JOHO AWAONYA WANYAKUZI WA MAENEO YA UVUVI

Waziri wa madini na uchumi wa raslimali za majini Hassan Joho, amewaagiza wanyakuzi wa maeneo ya uvuvi katika maeneo mbali mbali nchini kuondoka mara moja.

Akizungumza jijini Mombasa, Joho amesema kwamba tayari awaagiza magavana kutoka kaunti ambako shughuli za uvuvi huendelea kushirikiana na makamishna wa kaunti hizo kuhakikisha agizo hilo linatekelezwa.

Aidha, Waziri Joho amesema wizara yake imejiandaa kisawasawa kukabili suala la uvuvi haramu katika bahari Hindi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

JOHO AWAONYA WANYAKUZI WA MAENEO YA UVUVI

SABABU FICHE YA KUMTIMUA MWANGAZA, WAKILI NJIRU

JOHO AWAONYA WANYAKUZI WA MAENEO YA UVUVI

BII KUMTANGAZA NAIBU MPYA ‘MARA MOJA’

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *