RAIS RUTO AENDELEA KUJITETEA
Mradi wa nyumba za bei nafuu utawapandisha hadhi wakenya wanaoishi katika mitaa duni na kuwapeleka katika nyumba za kisasa.
Ndio kauli ya Rais William Ruto ambaye ameendelea kutetea mradi huo licha ya ukosoaji kwamba mradi huo unatumiwa kufuja fedha.
Aidha, Rais ametetea ubomoaji unaoendelezwa na serikali ya kaunti ya Nairobi dhidi ya wanaokwepa kulipa ushuru.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































