SERIKALI KUDHIBITI ZIARA ZA MAWAZIRI
Serikali imezindua mfumo wa kidijitali wa usimamizi wa safari za nje za maafisa wa serikali kaitka juhudi za kuhakikisha usafiri unaowahusisha mawaziri na maafisa wengine wakuu katika serikali unadhibitiwa na kupigwa darubini na afisi ya utumishi wa umma.
Naibu rais Rigathi Gachagua akizungumza kwenye hafla hiyo amesema kuwa mfumo huo utadhibiti utumizi mbaya wa pesa za umma.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































