#Local News

SERIKALI KUDHIBITI ZIARA ZA MAWAZIRI

Serikali imezindua mfumo wa kidijitali wa usimamizi wa safari za nje za maafisa wa serikali kaitka juhudi za kuhakikisha usafiri unaowahusisha mawaziri na maafisa wengine wakuu katika serikali unadhibitiwa na kupigwa darubini na afisi ya utumishi wa umma.

Naibu rais Rigathi Gachagua akizungumza kwenye hafla hiyo amesema kuwa mfumo huo utadhibiti utumizi mbaya wa pesa za umma.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

SERIKALI KUDHIBITI ZIARA ZA MAWAZIRI

MATOKEO YA MGOMO SHULENI

SERIKALI KUDHIBITI ZIARA ZA MAWAZIRI

HOSPITALI KANGUNDO YAKOSA DAWA, MAJI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *