#Local News

WANAOWALAGHAI WASANII MATATANI- SERIKALI

Serikali imeapa kuwalinda wasanii, wabunifu na wanamuziki dhidi ya walaghai wanaolenga kuwapunja, ikisema imeweka mikakati ya kuwakabili walaghai hao kikamilifu.

Kulingana na naibu rais Kithure Kindiki, serikali inalenga kuwaondoa watu binafsi ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakijinufaisha kwenye sekta hiyo huku wasanii wakiendelea kuteseka.

Alikuwa akizungumza na waimbaji zaidi ya 2000 nyumbani kwake kaunti ya Tharaka Nithi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WANAOWALAGHAI WASANII MATATANI- SERIKALI

KIGAME ATAZAMIA URAIS

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *