RAIS MADURO AKIMBIA IKULU
Rais wa Venezuela Nicolas Maduro ametoroka kutoka ikulu yake kutokana na maandamano makali ya kupinga uchaguzi wake, waandamanaji wakisafiri kutoka kilomita kadhaa na kutishia kuvamia ikulu hiyo.
Mapema leo, vikosi vya usalama vimetumia risasi za mipira na vitoza machozi kuwakabili waandamanaji.
Vurugu zimeanza katika jiji kuu la Caracas baada ya tume ya uchaguzi kumtangaza Maduro kuwa mshindi kwneye uchaguzi ulioandaliwa Jumapili dhidi ya mwaniaji wa upinzani Edmundo Gonzalez
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































