#Sports

RACHIER KUWANIA TENA UENYEKITI WA GOR MAHIA

Mwenyekiti wa Gor Mahia, Ambrose Rachier, atawania tena kiti chake katika uchaguzi wa klabu utakaofanyika Aprili 13, 2025, sambamba na Mkutano Mkuu wa Mwaka (AGM) katika Uwanja wa Nyayo.

Amesema ana haki ya kugombea kwa mujibu wa katiba ya klabu na uamuzi wa Mahakama ya Michezo, huku akipuuza wakosoaji wake.

Uchaguzi huo, uliocheleweshwa kwa migogoro ya ndani, utasimamiwa na IEBC, na wagombea wanapaswa kutimiza vigezo vya Msajili wa Michezo.

Imetayarishwa na Janice Marete

RACHIER KUWANIA TENA UENYEKITI WA GOR MAHIA

VIHIGA QUEENS KUJIPANGA KWA BUNYORE STARLETS

RACHIER KUWANIA TENA UENYEKITI WA GOR MAHIA

MUFUTU APONGEZA USHINDI WA ULINZI WARRIORS

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *