#Local News

WAVINYA AKANA KUWA ‘KIZUIZI’ CHA MAENDELEO

Muungano wa magavana 3 kutoka kaunti za Ukambani umepuzilia mbali madai kwamba ndio wamekuwa wakiizuia serikali kuu kutekeleza miradi ya maendeleo eneo hilo.

Mwenyekiti wa muungano huo Wavinya Ndeti ambaye pia ni gavana wa Machakos, ameyataja madai hayo kuwa yasiyo na msingi, akisema waliwasilsha mapendekezo ya miradi kwa serikali kuu jinsi walivyotakiwa ila hadi sasa bado haijatekelezwa.

Wavinya alikuwa akizungumza katika eneo la Masinga. 

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAVINYA AKANA KUWA ‘KIZUIZI’ CHA MAENDELEO

RUTO: AFRIKA HAITAKUBALI KUBAGULIWA UN

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *