MAHAKAMA YAMWAMRISHA IG KANJA KUMWASILISHA BLOGA NDIANGUI
Inspekta mkuu wa polisi Douglas Kanja ameagizwa na mahakama kuonyesha aliko bloga Ndiangui Kinyangia aliyetoweka siku 10 zilizopita.
Kwenye uamuzi wake, jaji Chacha Mwita amemtaka Kanja kumwasilisha bloga huyo mahakamani bila kukosa au aseme ni kwanini hawezi kupatikana kifikia kesho saa tano asubuhi.
Suala hilo litatajwa tena kesho.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































