SENETA LEDAMA ASEMA KUONDOLEWA MADARAKANI KWA MWANGAZA KUWA KISIASA
Seneta wa Narok Ledam Olekina amesema kuwa masaibu yanayomkumba gavana wa kaunti ya Meru Kawira Mwangaza yanatokana na vita vya kisiasa tu.
Olekina alibainisha kuwa kesi za kuondolewa madarakani nchini Kenya, zikiwemo za Mwangaza, hazijawahi kushughulikiwa kisheria na badala yake zimekuwa kelele za kisiasa
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































