#Local News

ZIWA TURKANA LAVUNJA KINGO ZAKE

Baadhi ya wakaazi katika kaunti ya Turkiana wanaoshi karibu na ziwa Turkana wameachwa bila makao baada ya Ziwa Turkana kuvunja kingo zake na kuathiri makaazi yao.

Mbunge wa Turkana ya kati Namuar Joseph Emathe amesema kuwa kufurika kwa ziwa hilo ni mojawapo ya athari za mabadiliko ya hali ya anga na kwamba kuna baadhi ya wafugaji katika sehemu nyingine ambao pia wamepoteza mali yao na mifugo wao kufa kutokana na kiangazi.

Imetayarishwa na Janice Marete

ZIWA TURKANA LAVUNJA KINGO ZAKE

KENYA KUPELEKA MAAFISA 600 ZAIDI WA POLISI

ZIWA TURKANA LAVUNJA KINGO ZAKE

TIMU YA GHANA KULAZIMIKA KUSHINDA MECHI ZOTE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *