#Local News

RUTO KUHUTUBIA TAIFA

Rais William Ruto ameratibiwa kulihutubia taifa majira ya kumi jioni katika Ikulu ya Nairobi.

Hotuba yake inajiri yapa wiki moja baada kulivunja barala lake la mawaziri.

Aidha, Wakenya wanampa shinikizo kuwatimua makatibu wote wakuu.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO KUHUTUBIA TAIFA

MBINU ZA SERIKALI DHIDI YA MAANDAMANO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *