RUTO KUHUTUBIA TAIFA

Rais William Ruto ameratibiwa kulihutubia taifa majira ya kumi jioni katika Ikulu ya Nairobi.
Hotuba yake inajiri yapa wiki moja baada kulivunja barala lake la mawaziri.
Aidha, Wakenya wanampa shinikizo kuwatimua makatibu wote wakuu.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa