MAHAKAMA YA LEBA YAWATAKA WAHADHIRI WA VYUO VIKUU KUSITISHA MGOMO WAO NA KUSHIRIKI MAZUNGUMZO
Mahakama ya leba imetangaza mgomo unaoendelea wa wahadhiri kuwa hauna ulinzi ikiwataka maafisa wake kurejea kwenye meza ya mazungumzo.
Wahadhiri chini ya Muungano wa Wafanyakazi wa Vyuo Vikuu (UASU) wameanza mgomo wa jana Jumanne wakiitaka serikali kuzingatia matakwa yake kama ilivyoainishwa katika Makubaliano ya Pamoja ya Majadiliano ya 2012-2025 (CBA).
Kwa hivyo mahakama imewataka wafadhili kukaribisha mazungumzo na serikali ili kutoa nafasi ya kuunda fomula inayofaa ya kurejea kazini.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































