#Local News

MAGARI 26, PIKIPIKI 18 ZACHOMWA NYANDARUA- SERIKALI

Uharibifu zaidi wa mali ya serikali na ya kibinafsi imeendelea kuripotiwa nchini, siku moja baada ya maandamano ya kuwakumbuka waathiriwa wa maandamano ya mwaka jana.

Katika kaunti ya Nyandarua, serikali ya kaunti hiyo imeripoti kuchomwa moto kwa magari yake 26 yaliyokuwa yameegeshwa katika afisi za kaunti ndogo ya Olkalou.

Aidha, imesema pikipiki zake 18 zilichomwa, Pamoja na kifaa cha muziki kilichonunuliwa maajuzi.

Imetayrishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *