#Local News

WATAKAOCHAFUA MAZINGIRA WATAKABILIWA KWA MUJIBU WA SHERIA

Wito umetolewa kwa watu ambao wanahatarisha Maisha ya wakenya kwa kuchafua mazingira kukoma mara moja.

wizara ya mazingira imesema kuwa itachapisha rasmi kwenye gazeti la serikali sheria mpya zitakazotumika na viwanda ili kukabili tatizo la uchafuzi wa mazingira.

Waziri wa mazingira Aden Duale amesema kuwa viwanda vitakavyokiuka sheria hizo na kuhatarisha Maisha ya wakenya vitawajibishwa kwa mujibu wa sheria.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *