MWANAMUME AFA MAJI ALIPOKUWA AKIOGELEA KATIKA CHEMI CHEMI YA MAJI HUKO KIRINYAGA
Mwanamume mwenye umri wa miaka 27 amekufa maji kwa alipokuwa akiogelea na marafiki zake katika chemi chemi ya maji ya Wanyiba katika Mto Rwamuthambi, ulioko Kagio, Wadi ya Mutithi, Kaunti Ndogo ya Mwea-Magharibi, Kaunti ya Kirinyaga.
Kulingana na walioshuhudia, akiwemo Patrick Muchoki, marafiki wanne walikuwa wakiogelea pamoja kabla ya kukumbana na mauti.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































