#Local News

MWANARIADHA WA UGANDA REBECCA CHEPTEGEI AFARIKI DUNIA

Mwanariadha wa uganda Rebecca Cheptegei amefariki dunia katika Hospitali ya Rufaa ya Moi mjini Eldoret alipokuwa akipokea matibabu kutokana na majeraha ya moto aliyopata baada ya kushambuliwa na mpenzi wake wa zamani.

Cheptegei ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 33.

Kaimu Mkurugenzi wa hosipitali ya Moi Dkt Owen Menach amethibitisha kufariki kwake usiku wa kuamkia leo baada ya viungo vyake kufeli.

Imetayarishwa na Janice Marete

MWANARIADHA WA UGANDA REBECCA CHEPTEGEI AFARIKI DUNIA

SINNER AFIKA FAINALI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *