#Local News

KNCHR YAONYA KUHUSU KEJELI

Tume ya kitaifa kuhusu haki za kibinadamu KNCHR imewaonya wakenya dhidi ya kuwakejeli watu walio na changamoto za kimaumbile ikiwemo kwenye mitandao ya kijamii, kwamba hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Kulingana na tume hiyo, watakaopatikana na hatia hiyo watatozwa faini ya shilingi milioni 1 au kifungo kischozidi mwaka mmoja au yote mawili.

Onyo ya KNCHR imejiri kufuatia tukio ambao mtu aliye na changamoto za kimaumbile alidhalilishwa mitandaoni maajuzi, tume hiyo ikisema hatua hiyo ni ukiukaji wa katiba na sheria zinawalinda.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KNCHR YAONYA KUHUSU KEJELI

MASWALI KUHUSU MALIPO YA 77M KUSAKA 13M

KNCHR YAONYA KUHUSU KEJELI

AFANDE WAWASILI LIBYA KWA CAF

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *