#Local News

MAGAVANA WAENDELEA KUMULIKWA

Magavana zaidi nchini wameendelea kujipata chini ya darubini ya vyombo vya uchunguzi kuhusiana na sakata za ufisadi katika kaunti zao, wa hivi punde akiwa gavana wa Nakuru Susan Kihika.

Akiwa mbele ya kamati ya uhasibu katika bunge la seneti hapo jana, Kihika alikuwa na wakati mgumu kueleza madai ya ufujaji wa zaidi ya shilingi milioni 22 kupitia miradi iliyokwama, kikiwemo choo cha shilingi milioni 1 ambacho ujenzi wake haujakamilika.

Kamati hiyo imeitaka tume ya maadili na kukabili ufsiadi EACC kumchunguza.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MAGAVANA WAENDELEA KUMULIKWA

NITAVURUGA MIFUMOMKINICHAGUA, KIGAME

MAGAVANA WAENDELEA KUMULIKWA

IEBC YATANGAZA TAREHE YA CHAGUZI NDOGO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *