OGAMBA: SHULE ZIMEPOKEA BILIONI 19
Ni afueni kwa shule za msingi na upili za umma baada ya shilingi bilioni 19 kati ya bilioni 48 kutolewa ili kufanikisha shughuli za masomo shuleni humo, kufuatia lalama za walimu wakuu.
Kwa mujibu wa waziri wa elimu Julius Ogamba, malimbikizi ya fedha hizo yatatolewa kufikia wiki ijayo.
Ameyasema haya alipokuwa akikagua madarasa ya gredi ya 9 eneo la Kikuyu kaunti ya Kiambu.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 











































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































