#Local News

MADAKTARI KUTRH WAGOMA, WATATIZA MATIBABU

Shughuli za matibabu katika hospitali ya rufaa na mafunzo ya chuo kikuu cha Kenyatta zimesambaratika kufuatia mgomo wa madaktari hospitalini humo ambao umeanza hii leo.

Madaktari hao wanalalamikia kusitishwa kwa bima ya afya na kile wanachokitaja kuwa usimamizi mbaya wa hospitali hiyo, na kutishia kusitisha huduma zote iwapo malalamishi yao hayataangaziwa.

Kulingana nao, kaimu afisa mkuu Isaac Kamau ndicho chanzo cha masaibu yao, na hivyo anafaa kutimuliwa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MADAKTARI KUTRH WAGOMA, WATATIZA MATIBABU

RAIS RUTO ATETEA BIMA YA AFYA SHA,

MADAKTARI KUTRH WAGOMA, WATATIZA MATIBABU

WAUGUZI WATOA ILANI YA MGOMO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *